Breaking News

Jumapili, 1 Novemba 2015

Hii ndiyo Tanzania mpya

Rais Mteule wa awamu ya tano,Dk.John Pombe Magufuli akionyesha hati ya utambulisho ya ushindi wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyopewa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini (NEC),Jaji Damiani Lubuva (kulia).

Tukio hilo lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali,mabalozi,viongozi wa dini,wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wageni waalikwa  katika Ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto kwake ni Makamu wa Rais Mteule,Samia Hassan Suluhu na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa tume hiyo,Ramadhani Kailima. Picha na Elisa Shunda

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni