Breaking News

Jumamosi, 31 Oktoba 2015

Kagame ameanza kumchokonoa Magufuli

WAKATI RAIS mteule wa serikali ya awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Joseph Magufuli, akisubiri kuapishwa rasmi na kushika madaraka ya nchi, Rais wa Rwanda Poul Kagame ameibuka nakutangaza rasmi kwamba rais huyo si chaguo la watanzania.

Kagame alisema kwamba Rais Dk Magufuli ni chaguo la CCM na kwamba chama hicho kimeamua kuionyesha dunia kwamba hakuna demokrasia nchini Tanzania bali ni serikali ya kidikteta.

Kagame pia alisema kwamba Rais Magufuli atapata shida katika utawala wale kwa sababu anajua kwamba yeye si chaguo la wananchi. " The president Kagame of Rwanda says"Today may be the day that the president is sworn in,forcefully and in a draconian way;even when the majority voters disagree.Today CCM has decided to show the world that there is no democracy in Tanzania but a dictatorship government of CCM.T he president who will be sworn in will be a choice of CCM and not the majority voters.The president who will struggle to lead because he knows he was not peoples' choice but a shadow of previous presidents who have taken the control of election and force in power"

Maoni 1 :