Breaking News

Jumamosi, 2 Januari 2016

Toa maoni yako,Barabara za juu (Flyover roads)


Barabara za juu (Flyover roads) zinaanza kujengwa na Mjapan. Wanakisima unachukuliaje ukamilikaji wa Daraja la kigamboni ambalo Litaanz kutumika Februaly na uanzaji wa ujengwaji wa barabara hizi?
98 people like this.
Comments
Hussein H Kitambi Mji unabadilika na maendeleo yanaonekana kwa macho
LikeReply4 hrs
Mwijage Telesphory Aya sasa week 2 zilizo pita watu walisems haiwezekani ss hizo big up jp
LikeReply14 hrs
Peter Mawungulu JPM anatekeleza ya Kikwete.
LikeReply54 mins
Habari Mpya
Write a reply...
Camal Abdul Kiukweli juzi nlipita vijibweni mpaka darajani kiukweli panavutia sana..daraja ni kubwa sana na pana pia zimewekwa njia 6 nje ya daraja...!!kwa fly overs bado tuna muda mrefu wa takriban miaka 3 mbele..so tuskilizie
LikeReply23 hrs
Godfrey Mponela Mungu ibariki Tanzania yetu na Mh Rais jpm
LikeReply3 hrs
Wilson Peter Mtino Daraja la kigamboni limejengwa mbali sana,mi binafsi sijapendelea
LikeReply12 hrs
Dotto Rangimoto Chamchua uliona bora lijengwe wapi?
LikeReply1 hr
Gwakisa Mtauchila Limejengwa pale sababu ni eneo ambalo meli hazifiki tofauti na pale kivukoni ambapo meli zinapita,hivyo ingelazimu daraja lipite juu sana hivyo kuongeza gharama za ujenzi,ukumbuke kwa kiasi kikubwa hizi pesa ni msaada toka nchi wahisani.
LikeReply1 hr
Habari Mpya
Write a reply...
LikeReply2 hrs
Iddy Ally Ujenzi tu wa tazara ni miaka mitatu hadi minne kama watajenga sio mbaya ndio,twahitaji maendeleo hayo lakini maswla ya uchaguzi zanzibar yatakwamisha utekerezaji huo kwani pesa wamarekani wanatukatia kutokana na wizi wenu wa kura na maswala ya zanzibar TUTASUBILI SANA ...
LikeReply1 hr
Otto Rugage Ndo maendeleo tunayo yataka jamani.
LikeReply11 hr
Paul Ndimbo Ndg yangu Iddy Ally hizo barabara za juu zinajengwa kwa msaada wa serikali ya Japan na sio Marekani hlf hao wamarekani hizo fedha zao za msaada tumezipata kwa siku 37 tu tena pale bandarini!! je tukiingia idara kama madini na misitu mbona tutakua na fe...See More
LikeReply41 hr
Issa Ndegea UKAWA, ETI MIAKA 50 YA UHURU CCM HAIJAFAMYA KITU!!!!!
LikeReply1 hr
Respicius Richard Watu wanajadili namna ya kuanzisha viwan:a vya ndege nyie miaka hamsini mnajadili barabara???
LikeReply1 hr
Peter Mawungulu Kazi ya Kikwete, hakika nae ana mazuri yake na ipo cku tutamkumbuka.
LikeReply57 mins
Fimbo Muntu umexema kwel ndg.
LikeReply55 mins
Habari Mpya
Write a reply...
LikeReply54 mins
Cesar Saburi Uledi S'bu Tanzania itasonga tu bila hao wamarekani wala wasitutishe. Wanatuchimba bit ili wapate mianya ya kutuchonganisha wanashindwa wanakimbilia kwny kuzuia misaada cc tunataka kujijengea uwezo wa kujitegemea maana unapokosa msaada unapata mbinu mpya ya kujikwamua
LikeReply25 mins
Peter Mawungulu Cesar umenena, tuchukulie mfano Zimbabwe. Ilipewa vikwazo vya uchumi kuanzia zidera mpaka wakaishiwa lkn kale kababu kalikoma nao, kwa miaka 8 wakaanza kulegeza kamba wenyewe. Mm nawachukia marekani kiasi kwamba hapa uchama nitauweka kando na nitasimama na serikali iliyopo madarakani.

Maoni 1 :

  1. Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma,

    Kwaheri Gerd Ulrich

    JibuFuta