Breaking News

Ijumaa, 30 Oktoba 2015

Karibu sana mdau wa tovuti yetu

Ndugu wadau na wasomaji wa tovuti ya Habarimpya.com ,Kampuni ya Japo Investment Network inayomiliki mtandao wa Habarimpya.com inaomba radhi kwa mtandao huo kutokuwa hewani tangu leo asubuhi ,kutokana na sababu ambazo ziko nje ya uwezo wetu.
 Mhariri mtendaji wa tovuti ya Habarimpya.com,Jackson Odoyo akiandaa habari kabla ya kuzirusha hewani.

Ingawa wataalum wetu wa masuala ya IT wanaendelea kutatua sababu hizo, tumeamua kuwaletea tovuti nyingine ya www.Habarimpya-tz.blogspot.com.
Kupitia tovuti hii mtaendelea kupata taarifa zote za muhimu kutoka nje na ndani ya nchi, poleni sana kwa usumbufu na karibu sana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni