Breaking News

Ijumaa, 1 Januari 2016

Rais Pombe,amtembelea Kadinali Pengo Hospitalini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es salaam.

Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo alielazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo January 1, 2016.

 Kardinali Pengo alilazwa hospitalini hapo jana jioni kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya yake.  - See more at: http://asaliwamoyo.blogspot.com/2016/01/habari-hivi-punde-tukio-kubwa-latokea.html#sthash.PgAN6bDs.dpuf

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni