Breaking News

Jumanne, 10 Novemba 2015

Askari mlarushwa atoa siri za wenzake

Wakati Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Joseph Magufuli, akija na kauli mbiu ya 'hapa kazi', Jeshi la Polisi nchini imeanza kutekeleza kauli mbiu hiyo kwa vitendo.

Jeshi hilo limetekeleza kauli mbiu hiyo kwa kumfukuza kazi aliyekuwa Askari wake kitengo cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga kwa tuhuma za kushawishi na kupokea rushwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni