Breaking News

Jumatano, 11 Novemba 2015

Kansiime ndani ya Kigali Rwanda

Kama ilivyo kwaida ya tovuti ya Habarimpya.com kukujali wewe msomaji wake, ratiba ya tovuti yetu kwa sasa ni kukupatia burudani.
Bila shaka utakuwa umewahi kumsikia ama kumtizama mchekeshaji mweye vituko kila kukicha nchini Uganda, Anne Kansiime, na kama haujawai basi huu ni wakati wako mwafaka wa kuburudika na vituko vyake. hiii ndiyo kazi yake mpya akiwa Mjini Kigali nchini RwandA. June mwaka 2015.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni