Breaking News

Jumanne, 8 Desemba 2015

Mwezi mmoja wa uongozi wa Magufuli Tanzania

Ni siku thelathini tu tangu rais mpya wa Tanzania John Pombe Magufuli aingie madarakani, lakini kasi ya utendaji wake umeibua hisia mbalimbali nchini humo, nchi za jirani na hata zingine za mbali barani Afrika.

Kuanzia kuwasimamisha kazi maofisa waandamizi wa serikali na mashirika ya umma hadi kufuta kwa sherehe za maadhimisho kadhaa utendaji wake umetia shauku ya watu kutaka kujua uongozi wake utaleta chachu gani nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC Sammy Awami amedodosa hilo zaidi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni