Breaking News

Jumatatu, 14 Desemba 2015

CCM imeshinda majimbo manne kati ya matano

Mpaka sasa jumla ya Majimbo 5 yamefanya uchaguzi kati ya Majimbo 7 ya Tanzania Bara na 1 la Zanzibar ambayo hayakufanya uchaguzi kutokana na sababu mbalimbali Tarehe 25 October 2015.
1. LULINDI-MTWARA
ACT 213
CCM 17715✔
CUF 714
NLD 1638
2. LUSHOTO-TANGA
ACT 375
CCM 19775✔
CDM 4402
CUF 350
3. ULANGA-MOROGORO
ACT 626
CCM 25902✔
CDM 10592
4. HANDENI MJINI-TANGA
ACT 194
CCM 12698✔
CDM 632
CUF 2522
TLP 13
5. ARUSHA MJINI-ARUSHA
ACT 359
CCM 34849
CDM 67250✔
CUF 96
Katika Majimbo haya 5 ni kwamba CCM imeshinda Majimbo 4 na CHADEMA 1.
CCM imepata jumla ya KURA 110939 na CHADEMA imepata KURA 82876 kwenye Majimbo yote 5 yaliyofanya uchaguzi ingawa katika Jimbo la Lulindi CHADEMA hawakusimamisha mgombea.
CCM ipo mbele kwa tofauti ya KURA 28663.
Majimbo ya MASASI na LUDEWA yanategemea kufanya uchaguzi wake Jumapili ya Tarehe 20 December 2015.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni